Aggrey Morris aagwa Kifalme, watu wasimama dakika 3, nyimbo ya taifa, zawadi juu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mchezaji wa timu ya taifa ya Tanzania, Aggrey Morris ameagwa kishujaa hii leo uwanja wa Mkapa akitundika daluga rasmi kunako Taifa Stars wakati wa mchezo wa kirafiki baina ya timu ya taifa ya Tanzania dhidi ya DR Congo. Morris amepewa jezi, mpira na hundi yenye thamani ya shilingi milioni tano.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad