Ajaribu Kujiua Baada ya Wazazi Kutaka Muachanisha na Mpenzi Wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Secilia Ching’unyau (22) amenusurika kifo baada ya kunywa sumu ya kuhifadhia Mahindi aliyoichanganya na Pombe aina ya Vodka-Cuca, kwa madai ya Wazazi kutaka kuvunja mahusiano yake


Kamanda wa Polisi, Fortunatus Muslim, amesema Secilia alijaribu kujiua kwa kunywa sumu aina ya Acteric, huku kiini cha tukio hilo kikiwa ni wivu wa kimapenzi kuwa, Wazazi wanaingilia kuvunja mahusiano na Mpenzi wake


Kwa sasa, Mtuhumiwa amelazwa katika Kituo cha Afya Gairo akiendelea na matibabu na hali yake inaendelea vizuri.

Join Our Telegram Group for Job Updates CLICK HERE



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad