Polisi Nchini #Kenya wanachunguza kifo cha Mwanaume aliyekutwa amefariki kwenye nyumba ya wageni, ambayo aliingia akiwa na Wanawake wawili
-
Maiti ya Mwanaume huyo imegundulika Januari 12, na amekutwa akiwa mtupu kitandani. Katika chumba kulikuwa na Kondomu iliyotumika lakini Wanawake hawakuwepo
Tazama Hapa Chini Msanii Rosa Ree Akimkemea Shetani:
DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL => HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE
0 Comments