Akutwa Amefariki Chumba Cha Guest Baada ya Kuingia na Wanawake Wawili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Polisi Nchini #Kenya wanachunguza kifo cha Mwanaume aliyekutwa amefariki kwenye nyumba ya wageni, ambayo aliingia akiwa na Wanawake wawili

-

Maiti ya Mwanaume huyo imegundulika Januari 12, na amekutwa akiwa mtupu kitandani. Katika chumba kulikuwa na Kondomu iliyotumika lakini Wanawake hawakuwepo


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad