Baba Levo atoboa siri kununuliwa gari na Diamond ‘Bosi wangu hapa sasa bado nyumba tu’ (Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa muziki na mtangazaji wa Wasafi Fm, Baba Levo wiki tumefanya naye mahojiano baada ya kuonyesha gari yake mpya ambayo amefunguka kwamba amenunuliwa na bosi wake mbaye pia ni rais wa WCB @DiamondPlatnumz

Baba Levo ambaye alinaswa na kamera za Bongo5 akiwa kwa @DickSound kwaajili ya kulipendezesha gari hilo, alifunguka kwa kusema gari hiyo amenunuliwa na Diamond na yeye alitoa pesa kidogo na sio kwamba amekopeshwa kama baadhi wa watu wanavyodai.

VIDEO:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad