Baba Levo Chawa wa Diamond Platnumz Atangaza VITA Kubwa Kwa Atakaye Msema Vibaya Mondi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


BLevo Fundi Manyumba @officialbabalevo ametangaza Vita na mtu yoyote atakae thubutu kumsema vibaya au kumtukana @diamondplatnumz, na kudai kuwa kufanya hivyo ni sawa na kuchezea mkate wake wa kila siku .


@officialbabalevo amedai kuwa Diamond amegharamia zaidi ya Milion 28 kwa ajili ya Video yake ya #Shusha, bila kudai kurudishiwa hata Senti Tano . Hivyo kitendo hicho kinaonyesha mapenzi makubwa aliyonayo juu yake na namna alivyoamua kumsaidia kwenye muziki na maisha yake kwa ujumla .


"Natangaza rasmi, ukimsema @diamondplatnumz vibaya ujue umeingia kwenye Vita rasmi na mimi. Sijali waniite chawa, Mende, kunguni au papasi, Cha msingi ni Boss wangu na ananilipa mshahara wa mamilioni " - @officialbabalevo

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad