Bashe ageuka mbogo kisa mradi wa Bilioni 2 “hawa ni wahuni” (+video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amechukizwa na mwenendo wa mradi uliogharimu zaidi ya Bilioni 1.9 na unaendeshwa kwa kusuasua ambapo amevunja uongozi wa skim hiyo na ametoa wiki mbili kwa Mkuu wa Wilaya ya Tabora Komanya Erick kusimamia uchaguzi na kupata viongozi watakaoendeleza.


Bashe ametoa maelekezo hayo baada ya kukuta skim hiyo yenye Hekta 400 zimetumiaka Hekta 15 huku zaidi ya Hekta 200 zikiwa zimehodhiwa na watu binafsi kinyume na taratibu “Wakaondolewe kama wana ishu Mahakamani waende wakatushtaki na hawa ni wahuni tu wana-take advantage waite wape notice ya kusurrender Property hatuwezi kustopisha mradi kwasababu ya watu wawili” .





-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad