Basi la Saratoga Lagongana na Hiace

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




AJALI  imetokea majira ya saa 11 alfajiri ya leo Jumamosi, Januari 16, 2021, baada ya basi la abiria, mali ya Kampuni ya Saratoga, lililokuwa likitokea Kigoma kwenda Dar es Salaam kugongana uso kwa uso na gari dogo la abiria (Hiace) maeneo ya Mbezi jijini Dar.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, hakuna kifo kilichotokea ispokuwa kuna majeruhi ambao ni pamoja na kondakta wa basi hilo ambaye amevunjika mguu.


 
Aidha, Hiace hiyo imeharibika nyang’anyang’a huku dereva wake akisalimika na kukimbia eneo la tukio kwenda kusikojulikana. Kwa taarifa zaidi endelea kufuatia taarifa zetu
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad