Bingwa wa Simba Super Cup Kulamba Mil. 15

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




KLABU ya Simba imeweka wazi zawadi atakazopata bingwa wa michuano ya Simba Super Cup iliyoanza Januari 27, 2021 ambazo ni fedha taslimu shilingi milioni 15, kikombe na medali.

 

Taarifa hiyo imetolewa leo kupitia kwa Ofisa Habari wa timu  hiyo, Haji Manara, ambaye pia amesema baada ya mchezo wa mwisho kutakuwa na tafrija (after party) ambayo itafanyika ‘Kidimbwi Beach’ jijini Dar es Salaam.



Katika hatua nyingine,  Manara amemtangaza msanii wa Bongo Fleva Zuchu kuwa mtumbuizaji katika mchezo wa mwisho wa michuano hiyo utakaopigwa Jumapili, Januari 31, 2021 kati ya Simba vs TP Mazembe.

 

“Mashabiki mfike mapema uwanjani na mjifunze namna ya kucheza sukari,” amesisitiza Zuchu ambaye pia amemtaja golikipa Aishi Manula kuwa ndiye mchezaji anayemvutia zaidi kutoka kwenye kikosi cha Simba.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad