Bobi Wine Apinga Matokeo Uchaguzi Mkuu Uganda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





MGOMBEA wa upinzani nchini Uganda katika nafasi ya urais, Bobi Wine, leo Januari 15, 2021,  amepinga matokeo ya uchaguzi ambayo yametangazwa hadi sasa na kujitaja binafsi kama rais mteule, licha ya tume ya uchaguzi kusema kuwa siyo kura zote zilizokwishahesabiwa.

Bobi Wine anadai uchaguzi wa Alhamisi ulitawaliwa na wizi mbaya zaidi wa kura kuwahi kushuhudiwa katika historia ya Uganda, lakini hakutoa ushahidi wowote kuhusu madai yake.

Ametangaza kuwa mapambano ndiyo kwanza yameanza.

Mgombea huyo jina lake halisi ni Robert Kyagulanyi, anasema kuwa atazungumza na waandishi wa habari saa chache zijazo juu ya kitakachofuatia.

Matokeo ya awali yanayotolewa na Tume ya Uchaguzi yanaonyesha Rais Yoweri Museveni anaongoza kwa zaidi ya asilimia 60.

Wakati huohuo, wanajeshi wameizingira nyumba ya Bobi Wine.

NECTA Watangaza MATOKEO ya ‘FORM’ 4, 2 na DARASA LA 4, Mwanafunzi ALIYEONGOZA KITAIFA..
 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huyu nae Ti lampu Mwingine. Kama Tundu Bovu vile. Pipo Pwaa..Pwa..PWAAAAA

    Mwenzako Kibeko kaenda kwao Ubelijiji wewe utaenda kupiga disco ya kolabo na nguli wa hip hop Mr. HamoRapa wapi? Sina uhakika kama ameikubali kolabo

    ReplyDelete
  2. Maandamano ya siyo na kikomo,ndio mazungumzo na mafundisho ya hawa VIBARAKA
    wanayo fundishwa na Low Bati Ansata Damu.

    Waganda wamelistukia hilo. Hawamwagi Damu na kuvunja Amani.

    Tafuta mchango wa auli kwenda Ubelijiji.

    ReplyDelete

Top Post Ad