Bobi Wine kukimbilia mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mpinzani mkuu kwenye uchaguzi wa urais nchini Uganda Bobi Wine amesema atakwenda mahakamani kuyapinga matokeo ya uchaguzi uliomrejesha mamlakani rais Yoweri Museveni huku akiwataka wafuasi wake kujizuia na machafuko.

SHINDA ZAWADI YA SIMU KWA KUDOWNLOAD APPP YA UDAKU SPECIAL HAPA



Bobi Wine ambaye jina lake halisi ni Robert Kyagulanyi amesema leo hatua hiyo inachukuliwa baada ya kujadiliana na uongozi wa juu wa chama chake cha National Unity Platform NUP.

Wine pamoja na chama chake wanadai kumefanyika udanganyifu wakati wa uchaguzi huo wa Januari 14, ambao ni wa kwanza kuibua kitisho kikubwa dhidi ya utawala wa rais Yoweri Museveni.

Kiongozi huyo wa muda mrefu mwenye miaka 76 amechaguliwa tena kwa asilimia 58.6 ya kura zote na kufuatiwa na Wine aliyepata asilimia 34.6.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad