AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MANGAZAJI na mwandishi wa habari mkongwe wa kituo cha runinga cha CNN cha nchini Marekani, Lawrence Harvey (87), almaarufu Larry King amefariki dunia leo Januari 23, 2021 katika Hospitali ya Cedars- Sinai, Los Angeles, nchini humo akiwa na umri wa miaka 87 kwa kile kilichoelezwa kuwa ni maradhi ya Covid-19.
Katika taarifa iliyotolewa na Ora Media, Kampuni ya Habari, aliyokuwa anaimiliki, inaeleza kuwa nguli huyo wa habari, alilazwa hospitali tangu mwanzoni mwa mwezi Januari baada ya kupata maambukizi ya Covid 19.
Usikubali Kupitwa na Udaku wa Mjini INSTALL App ya UDAKU Special >HAPA ili Tuwe Tunakutumia Moja Kwa Moja Kwenye Simu Yako
Kwa kipindi kirefu mwanahabari huyo alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya mapafu na saratani ya tezi dume huku mwaka 2019, akinusurika kupoteza maisha baada ya kupatwa na shambulio la moyo lililosababisha
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK