Chuchu Awaponda Mastaa Wanaozindua Miradi Feki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MSANII wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans amewaponda mastaa wenzake wanaozindua miradi mbalimbali ikiwemo maduka na saluni wakijifanya miradi yao kumbe si kweli isipokuwa wanataka kuipa ustaa miraji hiyo.


Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Chuchu alisema utasikia mara staa fulani kazindua duka lake la viatu maeneo fulani mara mwingine kazindua saluni yake eneo fulani lakini baada ya muda unakuja kugundua kumbe hakuna lolote.


“Utasikia fulani kazindua duka la viatu maeneo fulani mara mwingine kafungua saluni ya kisasa maeneo fulani tena wakitaja mpaka thamani ya hiyo miradi lakini baada ya muda unakuja kugundua kumbe hiyo ilikuwa ni kuipa kiki miradi hiyo.


“Mimi nimeamua kuiboresha saluni yangu hapa Sinza White Inn na nnaposema saluni yangu namaanisha yangu na sio kujipazia kwa ajili ya kuipa ustaa mimi siyo kama hao,” alisema Chuchu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad