AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chuo Kikuu cha Lehigh kimebatilisha Shahada ya Heshima kilichomtunuku Rais Trump Miaka 30 iliyopita. Kimefikia hatua hiyo baada ya kujiridhisha kuwa Rais Trump alihamasisha Wafuasi wake kuvamia Bunge la Marekani
Mwaka 1988, Kaka yake Trump alihitimu katika Chuo Kikuu cha Lehigh, Donald Trump aliitwa kuhutubia katika mahafali hayo na akampewa Shahada ya Heshima
Chuo kimesema tukio la kuvamia Bunge ni kukiuka Misingi ya Kidemokrasia ambayo huheshimu maamuzi ya watu katika Uchaguzi Huru na kukabidhiana madaraka kwa Amani
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK