Chuo Kikuu Chafuta Shahada ya Heshima Waliyokuwa Wamempa Rais Donald Trump

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Chuo Kikuu cha Lehigh kimebatilisha Shahada ya Heshima kilichomtunuku Rais Trump Miaka 30 iliyopita. Kimefikia hatua hiyo baada ya kujiridhisha kuwa Rais Trump alihamasisha Wafuasi wake kuvamia Bunge la Marekani


Mwaka 1988, Kaka yake Trump alihitimu katika Chuo Kikuu cha Lehigh, Donald Trump aliitwa kuhutubia katika mahafali hayo na akampewa Shahada ya Heshima


Chuo kimesema tukio la kuvamia Bunge ni kukiuka Misingi ya Kidemokrasia ambayo huheshimu maamuzi ya watu katika Uchaguzi Huru na kukabidhiana madaraka kwa Amani

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad