Dada Zangu wa Mjini Punguzeni Machaguo ya Wanaume, Muolewe...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

.



Utangulizi wa mada

Dada zangu warembo siye wanaume tunawapenda sana na ni ndoto ya kila mwanaume lijali kuwa na wake wa maisha lakn changamoto ni nyinyi hamueleweki mna taka nini katika maisha haya ya 'mitano tena'.


Kiini cha mada. Dada zangu mmekuwa na kasumba moja kubwa sana sijui ndio utandawazi au ndio yale ya kutojua unataka nini.


Leo kila mdada anakwambia mie nataka husband material awe na hili na lile ambapo wakati mwingine ukimuangalia na yeye mwenyewe hata haendani anayo yahitaji.


Siku hizi kila mdada anakumbia mie nataka mwanaume handsome,mrefu kiasi, mwenye Elimu at list degree na iwe ya uchumi au ufundi, awe na vipesa vya kubadilisha wigi na simu.


Hawaishii hapo, mara oh awe na gari kashindwa sana awe na boda, halafu pigo la mwisho eti awe good on bed.


Kaeni mjiulize hivi kati hivyo mnavyo hitaji wewe kipi unacho?


Punguzeni maisha yakina beyonce mtaishia kulalamikia ooh wanaume hawaeleweki mara ninagundu haya shauri yenu halafu kutuita mbwa muache.


Nawaaga kwa jina la Mungu muweza.

 Thanks Quote ReplyReport

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad