AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiwa jukwaani Diamond Platnumz aliamua kutumia wimbo wa Singeli aliokuwa akiimba na Dulla Makabilla kufikisha ujumbe kwa hadhira kwa kusema kuwa Eti wanasema yeye amerudiana na Tanasha lakini pia hawajaishia hapo wakasema tena yeye ( Diamond Platnumz) hajafanana na mtoto wa Hamisa Mobetto ( Mtoto wake) Dyllan
VIDEO:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK