Diamond Platnumz "Nilijua Mzee Nyange Ndio Baba Yangu Mwaka 2000"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwanamuziki Diamond Platnumz amesema alifahamu kuwa Salum Iddi Nyange ndiye baba yake mzazi tangu mwaka 2000, na kwamba licha ya kufahamu hilo, amesema hakuona sababu ya kulijadili hata na ndugu zake wengine. Diamond amesema mama mzazi wa Rommy Jones ndiye aliyemwambia.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wewe huna baba. zaidi ya Mzee Makame Mrisho.

    Msimuonee Salumu Bubu ajili hawezi kusema. Sanuru alikuwa hajielewi. na mpaka sasa.

    Mwahawa fungua jalada dhidi ya hawa wanao anza kumuua Baba yako kwa njia ya msongo wa mawazo aliwemo mtia kibiriti Juma na Shosti wake.

    Kwini Da Lini, usikubali baba yako auliwe kileja leja .

    Madhara ya Sanura kuingia Redioni na kutapika alio kunywa ni kesi ya Jinai

    ReplyDelete

Top Post Ad