Diamond Platnumz "Sijamfollow Nandy Mtu Aliyekuwa Naye Zamani Kwenye Mahusiano Sikuwa Naye Sawa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


''Swala La @officialnandy Nilikutana Naye Dubai Na Kama Kawaida Watanzania Mkikutana Sehemu Lazima Mjumuike Pamoja Hivyo Hakukua Na Kitu Chochote Kibaya Kilichotokea Ni Mtu Ambaye Na Muheshimu Na Nina Heshimu Kazi Yake Na Anaiwakilisha Vyema Nchi Yetu, Swala Lakutomfollow Instagram Sijui Ni Nini Kimetokea Lakini Pia Sijafollow Watu Wengi Sana Na Nafikiri Ni Bahati Mbaya Tu Sehemu Yoyote Nikikutana Naye Huwa Tunaheshimiana Sana Pengine Pia Mahusiano Yake Ya Zamani Yalikuwa Serious Na Mtu Ambaye Kibiashara Sikuwa Naye Sawa Pengine Labda Ikapelekea Sisi Kuwa Hivyo'

Join Our Telegram Group for Job Updates CLICK HERE


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad