AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Esma ame Eleza kwa kirefu jinsi alivyokutanavna aliyekuwa mume wake Msizwa, ndoa ilivyokua, maisha ya ndoa na mipango yake ya baadae.
Esma amekanusha kuwa hakutoa ujauzito wa Msizwa bali alikua wana matatizo ya kutoka Mwana damu, tatizo lililopelekea yeye kulazwa hospitali.
Siku ya harusi mama aliyetambulishwa hakuwa mama yake mzazi Msizwa. Mama wa Msizwa Esma alikuja kumjua baadae akiwa kwenye ndoa.
Tazama Video Interview Nzima:NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
siku nyingine uamke ukiona mwanaume anaongea dharau kwa mke/wake zake ujuwe hata wewe atakudharau, unasema umepata mwanaume kwa kuwaponda wenzako
ReplyDelete