Harmonize Atangaza Siku ya Kuachia WIMBO Wake na Anjella, Atangaza Kuhitaji Watu Hawa Kwa Ajili ya Angella

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya @harmonize_tz kuukubali uwezo wa mrembo @anjella_tz alifuata utaratibu na usiku wa jana alikutana na mrembo huyo na kufanikiwa kuingia nae studio, habari njema ni kwamba @harmonize_tz ametangaza tarehe rasmi ya kuachia kazi aliyomshirikisha @anjella_tz .


Kupitia ukurasa wake wa instagram @harmonize_tz amepost kipande cha video cha @anjella_tz akiwa anaimba na live band na kuandika “Thank You Queen @anjella_tz You did Good job Last Night Nitafurahi Sana Kuwa Part Ndogo Ya Safari Yako ...!!!! Siku Zote Mungu Anakuwaga Na Makusudi Yake it's Your Time Now Yooo Nahitaji DESIGNER Mkali Ambae Anaweza Fanya Kuanzia Nguo & Nywele Lakini Pia Nahitaji OFFICIAL Make up artist Queen @anjella_tz She is ready 4 First photo shoot ..!!! 🥰 Please Link up with this 2 People Kama Unajijua Wewe ni Mkali Wa Fashion @dukeboy_tz & @jacklinengalunda ♥️🤞 my first (SINGLE) out 20/1/2021 DATE 2 REMEMBER JESHI ft @anjella_tz (ALL NIGHT) PR @bboybeats_ MIXING & MASTERING

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad