google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Hiki hapa kikosi cha kwanza cha Yanga baada ya kukamilisha usajili wa Fiston | UDAKU SPECIAL

Hiki hapa kikosi cha kwanza cha Yanga baada ya kukamilisha usajili wa Fiston

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


BAADA ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Cedric Kaze kukamilisha dili la Fiston Abdulazack kwenye usajili wa dirisha dogo inakuwa imesajili jumla ya nyota watatu.

Nyota mwingine ambaye amesajiliwa ni pamoja na Saido Ntbanzokiza naye ni raia wa Burundi pamoja na mzawa Dikson Job.

SHINDA ZAWADI YA SIMU KWA KUDOWNLOAD APPP YA UDAKU SPECIAL HAPA


Huenda kikosi cha kwanza  kitakuwa namna hii:-


Mnata Metacha 


Kibwana Shomari 


Lamine Moro 


Bakari Mwamnyeto 


Yassin Mustapha 


Tonombe Mukoko 


Feisal Salum 


Saido Ntibanzokiza 


Tuisila Kisinda 


Yacouba Songne 


Fiston Abdulazack 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad