Hiki ndio chanzo cha kifo Larry King akiwa na miaka 87

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Larry King , aliyekuwa mtangazaji wa shirika la utangazaji CCN katika kipindi maarufu cha Larry King Live nchini Marekani amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 87.



King aliyejizolea umaarufu kutokana na umahiri wake katika tasnia ya utangazaji, akisifika zaidi kwa uelewa mkubwa wa mambo na maswali yaliyowatikisa aliowahoji alikuwa amelazwa hospitali baada ya kugundulika kuwa na maambukizi ya ugonjwa wa Corona.



Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mtoto wake katika ukurasa wake wa Facebook, inaeleza kuwa amefariki leo asubuhi Jumamosi Januari 23, 2021 katika hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center Los Angeles nchini Marekani.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad