Jose Chameleone Amfuata Bobi Wine, Aingia Kwenye Kinyang'anyiro cha Umeya Kampala

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Nyota wa muziki wa Hip hop nchini Uganda Jose Chameleone ni miongoni mwa wagombea wa nafasi ya meya wa jiji la Kampala.

Uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa unafanyika leo nchini Uganda, pamoja na Meya wa majiji kukiwa na ushindani mkali katika jiji la Kampala.Lord Meya anayetetea kiti chake Elias Lukwango wa chama cha FDC anakabiliwa na ushindani wa wasanii wawili.

Download App ya Udaku Special HAPA Kusoma Hizi Habari Kupitia Simu yako Kirahisi


Wakati huo huo tume ya uchaguzi ikiwa imepokea matokeo ya vituo 1200 vya kupiga kura ambavyo havikujumuishwa wakati akitangazwa rais Museveni kuwa mshindi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad