JPM: Watanzania tuwe waangalifu kwa mambo ya kuletewa letewa, Taifa hili ni tajiri kila mmoja anaitamani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 
“Chanjo hazifai. Kama Wazungu wangekuwa na uwezo wa kuleta chanjo, hata chanjo ya UKIMWI ingeshaletwa… Lazima Watanzania tuwe waangalifu kwa mambo ya kuletewa letewa, msije mkafikiria mnapendwa sana. Taifa hili ni tajiri, Afrika ni tajiri, kila mmoja anaitamani.



“Niiombe Wizara ya Afya isiwe inakimbilia mambo ya machanjo chanjo bila yenyewe kujiridhisha. Ipo nchi fulani walichanjwa watoto wake wa kike, wanaambiwa ni kwa ajili ya kuzuia cancer ya kizazi, imekuja kugundulika ile chanjo ilikuwa ni ya kuwazuia wasizae.”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad