Kakakuona Aonekana Mvomero, Atabiri Neema

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MNYAMA Kakakuona ameonekana Wami Sokoine, Wilaya ya Mvomero ambapo Viongozi wa Kimila na Kidini walimtumia ili aweze kutabiri hali ya mwaka huu.

Walimuwekea zana za kimila, zana za umeme na vifaa vingine ambapo alipita kati ya unga na maziwa hali iliyoonekana kuwa ishara ya neema kwa mwaka 2021.

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Albinus Mgonya amesema, mbali na imani kuwa msimu utakuwa mzuri, amewataka Wananchi wazingatie kilimo bora kwa kuzingatia Sheria za Kilimo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad