AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ikiwa imetimia mwaka mmoja tangu kuuawa kwa Kiongozi wa Ngazi ya Juu wa Jeshi la Iran, Qasem Soleimani, Nchi hiyo imeendelea kusema italipiza kisasi dhidi ya Marekani
Kumekuwa na mikusanyiko mikubwa ya watu iliyodumu kwa takriban wiki moja sasa katika maeneo kadhaa, kama sehemu ya kumuenzi Soleimani aliyeuawa Januari 03, 2020
Siku chache zilizopita, Rais Hassan Rouhani alisema, kuuawa kwake ni uhalifu usioweza kusamehewa na kisasi kitaamuliwa kwa wakati sahihi
Aidha, Jaji Mkuu wa #Iran, Ebrahim Raisi amesema, Marekani ingoje kisasi cha nguvu kwa uhalifu iliyoutenda huku akionya kuwa wote waliohusika hawatakuwa salama
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK