AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa Gazeti la @mwanaspoti_tz aliyewahi kuwa kocha wa Simba, Patrick Aussems amesema yupo tayari kurejea klabuni hapo kama mabosi wa timu hiyo watampa nafasi. Aussems ameahidi kuwa anaweza kukusanya alama zaidi ya 10 katika mechi za Makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika Na Kutinga Hatua Ya Robo Fainali Ya Michuano Hiyo Kwa:Msimu Huu Wa 2020/21
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK