google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Kocha Patrick Aussems Atamani Kurudi SIMBA, Atamba Kuivusha Tena Robo Fainali Ligi ya Mabigwa Afrika | UDAKU SPECIAL

Kocha Patrick Aussems Atamani Kurudi SIMBA, Atamba Kuivusha Tena Robo Fainali Ligi ya Mabigwa Afrika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa mujibu wa Gazeti la @mwanaspoti_tz aliyewahi kuwa kocha wa Simba, Patrick Aussems amesema yupo tayari kurejea klabuni hapo kama mabosi wa timu hiyo watampa nafasi. Aussems ameahidi kuwa anaweza kukusanya alama zaidi ya 10 katika mechi za Makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika Na Kutinga Hatua Ya Robo Fainali Ya Michuano Hiyo Kwa:Msimu Huu Wa 2020/21


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad