AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya kutua Bongo Koffie Olomide amethibitisha kuwa tayari wamerekodi ngoma yao na Nandy na kilichomleta Tanzania ni kurekodi video tu.
Nandy ameeleza kuwa Collabo yake na Koffie Olomide ilishafanyika muda sana ila kuna vitu ambavyo vilihusu uongozi zaidi ndio vilichelewesha.
Koffie ametuma salamu zake kwa Diamond Platnumz na kumsalimia akieleza kuwa ni rafiki yake sana baada ya kuulizwa kuhusu ngoma ya WAAH ameleza ile ni ngoma kubwa sana na hana la kusema zaidi ya WAAAH.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK