Chama cha ACT Wazalendo nchini Tanzania kimesema kuwa Mwenyekiti wake wa Taifa Maalim Seif Sharif Hamad na mkewe Awena pamoja na wasaidizi wake kadhaa wa karibu wamepata maambukizi ya COViD-19 baada ya kufanyiwa vipimo.
Sikiliza Wimbo Hapo Chini Rosa Ree Aliyofanya na Waimbaji Undergroud, Ni Noma Diamond Ampa Big Up:
DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL => HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE
0 Comments