Mange Kimambi "Ila Dai ana raha jamani. Yani wanawake zake wanakazi ya kupishana airport kupandisha watoto mandege, Kha!"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



By Mange Kimambi 

"Kwa wanaume wengine don’t try this kama huna hela, it won’t work🤣

Duh, Ila Dai ana raha jamani. Yani wanawake zake wanakazi ya kupishana airport kupandisha watoto mandege, Kha!

Jamani kizee mwenzangu wa Sauzi embu grow up, hivi huoni aibu kujiingiza kwa hizi drama? Bora hao kina Tanasha watasingizia umri unasumbua wewe kizee mwenzangu una kisingizio gani? Tanasha mi namuelewa anatafuta maisha na kuboost career yake. Yule wa South anaedai ye tajiri why anafanya huu ujinga?

So baadae Bi Tukinao will go back there and stay in the same house again? 🤦🏽‍♀️ . Jamani kwani ya Dai ya dhahabu ama? Mnajua sielewi? 🤣.

Kwanza why mnapandisha watoto mandege ? why yeye ndo asiende kuona watoto? Au atume mamake abebe watoto waende Dar why wewe mwanamke mpaka ujipeleke na wewe kujichoresha? Kama Zari alivyo kuwa anafatana na Dai mpaka mpirani, what was that for kama sio kujichoresha na ndo mwanaume anazidi kukudharau, anakuona cheap, alafu ukiangalia picha alizoposti Zari na alizoposti Dai za siku ile mpirani unaona kabisa nani anashoboka na nani hana time" Mange Kimambi

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad