Mbwana Samatta Arejea Kikosini na Balaaa...Atundika Bao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania na klabu ya Fenerbahce ya Uturuki, Mbwana Samatta amerejea rasmi Uwanjani baada ya kuwa nje kwa muda mrefu na kutupia bao kwenye mchezo dhidi ya Kasimpasa.

Samatta alifunga bao hilo dakika ya 51 ya mchezo huo wa Turkish Cup raundi ya 16 uliopigwa kwenye Uwanja wa Şükrü Saracoğlu, ambapo alianza kwenye kikosi cha kwanza kabla ya kutolewa dakika ya 69 na nafasi yake kuchukuliwa na Ozan Tufan.


Samatta amekuwa nje ya Uwanja tangu mwezi Novemba mwaka jana kutokana na majeraha ya misuli ambayo yalimfanya akose michezo ya kutafuta tiketi ya kufuzu michuano ya AFCON ambapo Taifa Stars ilipepetana dhidi ya Tunisia Novemba 13, na 17.




-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad