google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Melania Trump Amchoka Donald Trump, Huenda Wakaachana Hivi Karibuni...Aonyesha Kwa Vitendo Kuchoka | UDAKU SPECIAL

Melania Trump Amchoka Donald Trump, Huenda Wakaachana Hivi Karibuni...Aonyesha Kwa Vitendo Kuchoka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Melania Trump ni kama amemalizana na mumewe baada ya kuondoka kwenye kuta za White House. Ashindwa kusimama na kupiga picha mbele ya wageni mara baada ya kuwasili mjini Florida toka Washington.


Kama unakumbukumbu vizuri, Melania aliwahi kukaririwa akisema ataachana na Donald Trump pindi tu akimaliza shughuli za Urais. Melania alisema hakupenda maisha ya hadhi hiyo kubwa duniani.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad