Meya manispaa ya Moshi awataka waliovaa barakoa kuzivua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Moshi. Meya wa manispaa ya Moshi,  Juma Raibu Juma amewataka wajumbe waliovaa barakoa katika kikao cha baraza la madiwani kuzivua kwa madai kuwa manispaa hiyo ipo salama.


Ametoa agizo hilo leo Alhamisi Januari 28, 2021 wakati wa ufunguzi wa kikao cha bajeti cha baraza hilo baada ya kuwataka waliovaa barakoa kusimama na kisha kuwataka wavue.


Join Our Telegram Group for Job Updates CLICK HERE


"Kabla ya kufungua kikao chetu niwaombe wote waliovaa barakoa wasimame. Vueni barakoa zenu,  manispaa yetu ipo salama, mimi mstahiki meya sijavaa barakoa wewe uliyevaa ina maana unajipenda zaidi,” alihoji.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad