AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Moshi. Meya wa manispaa ya Moshi, Juma Raibu Juma amewataka wajumbe waliovaa barakoa katika kikao cha baraza la madiwani kuzivua kwa madai kuwa manispaa hiyo ipo salama.
Ametoa agizo hilo leo Alhamisi Januari 28, 2021 wakati wa ufunguzi wa kikao cha bajeti cha baraza hilo baada ya kuwataka waliovaa barakoa kusimama na kisha kuwataka wavue.
Join Our Telegram Group for Job Updates CLICK HERE
"Kabla ya kufungua kikao chetu niwaombe wote waliovaa barakoa wasimame. Vueni barakoa zenu, manispaa yetu ipo salama, mimi mstahiki meya sijavaa barakoa wewe uliyevaa ina maana unajipenda zaidi,” alihoji.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK