Mfahamu Nelson Mazola: Jambazi Aliyeokoka Na Kugeukia Uigizaji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




KIJANA Nelson Mazola, 33, ambaye ni raia wa Afrika Kusini ambaye stori ya maisha yake imewagusa wengi baada ya kuweka wazi kuwa alijiunga na makundi ya ujambazi akiwa na umri wa miaka 16 tu.

 

Baadaye aliamua kuachana na maisha hayo hasa baada ya kifo cha mama yake na kubadili mfumo mzima wa maisha na ndipo alipoanza kuonesha uwezo vipaji vyake hadi kufikia kuwa muigizaji mkubwa nchini humo. Nelson Mazola ametrend sana kwenye mitandao ya kijamii baada ya watu wengi kutumia vituko vyao kama vibonzo.

 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad