Mnangagwa: Marekani Haina Haki ya Kuadhibu Nchi Nyingine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


BAADA ya wafuasi wa Rais Trump kuvamia Bunge la Marekani, Rais wa #Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa amesema Taifa hilo halina haki ya kuiadhibu nchi nyingine kwa misingi ya kidemokrasia.

Zimbabwe iliwekewa vikwazo na utawala wa Trump enzi za Robert Mugabe kwa ukiukwaji wa Demokrasia, hali inayoleta ugumu kwa Wananchi. Rais huyo amempongeza Joe Biden akisema wapo tayari kushirikiana na Marekani kwa manufaa ya pande zote mbili.

Marekani na Umoja wa Ulaya zimeiwekea vikwazo Zimbabwe kwa madai ya ukosefu wa Demokrasia na kuheshimiwa #HakiZaBinadamu na vilevile kubanwa kwa vyombo vya habari.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Tumpongeze Mteule ambae makamu wake ni mwenye asili yetu
    Tunaweza kufanya nao kazi vizuri zaidi ni wasikivu.

    Tofauti na awamu hii inayoondoka.

    ReplyDelete

Top Post Ad