Mwanafunzi wa Miaka 22 Akiri Kumuua Bibi yake Kwa Kumpiga na Chuma Walipokuwa Wakipigana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


KENYA: Mercy Wangari anashukiwa kuwa Mtuhumiwa namba moja katika mauaji ya Bibi yake (72) baada ya kukiri kumpiga na chuma walipopigana na kupelekea kifo chake papo hapo miezi mitano iliyopita


Mwanafunzi huyo anasema, Baada ya Baba yake kupoteza kazi na kushindwa kumudu mahitaji, Bibi alianza kuongelea matatizo yao kwa ndugu wengine na wanakijiji, kitendo kilichokasirisha Familia yake


Hali hiyo ilipelekea mvutano baina na Bibi na Familia, na kwa mujibu wa maelezo ya Mercy, Bibi yake pia alianza kuwa tofauti naye ikilinganishwa na ndugu zake wawili akidhani maisha ya Chuoni yanambadilisha


Mercy alitaka kujisalimisha Polisi lakini Baba yake aliamua kumuokoa kwa kusema yeye ndiye aliyemuua Mama yake. Hivi sasa, wote wawili wanashikiliwa na Polisi wanaomalizia uchunguzi wao

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad