Mzimu wa Hamisa Mobetto Utawatafuna Sana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kuna wakati huwa nahisi Familia ya Diamond inapaswa kumuomba msamaha sana hamisamobetto

Kwa picha ya nje sijawahi kuona siku hata moja Hamisa aliwahi kumzungumzia vibaya Diamond wala Familia yake. Ila nakumbuka familia ya Diamond na Diamond mwenyewe wamekosea Hamisa severe time, Diamond alikana mimba kwenye Media ila dada wa watu akavunga wala hakuwa na neno, Diamond amempimisha DNA Dully, Diamond amewahi kumchamba Hamisa mara kibao dada wa watu hajawahi hata kusema chochote, Upande wa Mama ndo balaa yeye anabwabwaja tu kila uchao. Unajua Mungu wetu sote na kuna wakati anampiga Fimbo mtu hapahapa Duniani.


SHINDA ZAWADI YA SIMU KWA KUDOWNLOAD APPP YA UDAKU SPECIAL HAPA



Hamisa amepitia magumu sana na mtoto wake kwa Diamond, na leo Diamond anapitia wakati mgumu sana, jamii inamuonaje mama Ake na yeye kiujumla?? Ukifatilia maongezi Mama Dangote inawezakana hamjui baba wa mtoto, katika akili ya kawaida mtu awe na mke ndani alafu akubali kulea mimba ya nje kwa side chick ulisikia wapi?? 🤣🤣🤣Hapo mama anatupiga uwongo. Kingine kibaya sasa Diamond anashindwa hata kurudisha fadhila kwa Baba mlezi kweli?? Hivi Diamond ana roho ya Aina gani ikiwa Zuchu alitelekezwa na Baba ake juzi tu kamsamehe Baba yake, Mbosso kawapa wazazi wake Nyumba na gari yeye mlezi kamchunia 😭😭😭daaaah! Diamond abadilike Jamani

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad