AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwimbaji mrembo Nai amesema hata iweje hawezi kufanya collabo na mpenzi wake wa zamani rapa Moni Centrozone.
Akisisitiza hilo Nai amesema kitendo cha yeye kuonekana akiimba moja ya ngoma za Moni hakimanishi wana ukaribu.
Kwa upande mwingine mrembo huyo ameweka wazi kwasasa yupo single ila hataki wanaume anachofanya sasa ni kutafuta pesa.
Tazama Video hapo chini
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK