Nicki Minaj Matatani Kwa Kiba Wimbo, Kutoa Mabilioni ya Pesa...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nicki Minaj ameripotiwa kushtakiwa na rapa aitwaye Brinx Billions kwa tuhuma za kuiba wimbo "Rich Sex" aliomshirikisha Lil Wayne ambao ulitoka mwaka 2018 na kupatikana kwenye album yake, QUEEN.

Kutokana na ukaribu wao, Brinx anaamini Nicki Minaj aliiba wimbo wake kwa sababu kuna siku walikaa pamoja na kumsikilizisha na kisha kumwambia kwamba itakuwa Hit song. Baada ya kutoka wimbo huo, hakukuwa na utambulisho wowote kumuhusu Brinx kama mmiliki, mtunzi na mtayarishaji wa wimbo huo ukiacha kipande kidogo cha intro na outro alichowekwa.

Kwenye shtaka hilo ambalo Brinx amewashtaki Nicki Minaj, Universal Music Group, Young Money na Cash Money, amedai fidia ya ($200m) sawa na TSh. Bilioni 463.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad