Ozil ajiunga na Timu ya Mbwanna Samatta, Arsenal yatoa tamko

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Klabu ya soka ya Arsenal imethibitisha mchezaji Mesut Ozil amejiunga na klabu ya Fenerbahce ya Uturuki, ambayo anakipiga Nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta.


Mkurugenzi wa Ufundi wa Arsenal Edu Gaspar amemshukuru Ozil ambaye alijiunga na Arsenal mwaka 2013 akitokea Real Madrid.


Edu ameongeza kuwa anaishukuru sana timu ya Ozil kwa kuonesha ushirikiano mkubwa wakati wa mazungumzo ya kuvunja mkataba.


Kwa upande wake kocha wa Arsenal Mikel Arteta amesema kuwa ilikuwa ni wakati mzuri sana kucheza na Ozil pamoja na kumfundisha, anajivunia sana ubora na ubunifu wake uwanjani.


Ozil ameichezea Arsenal zaidi ya mechi 250, amefunga magoli 44 na kutoa Assist 71. Sasa anakwenda kujiunga na nahodha wa Tanzania na mshambuliaji wa Fenerbahce Mbwana Samatta.


Ujumbe wa Ozil

Thank you, Gunners! #YaGunnersYa pic.twitter.com/lkVI2qHC6X


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad