Padri Anayedaiwa Kubaka, Kumpa Mimba Mwanafunzi Afunguliwa Mashtaka Upya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



ALIYEKUWA Paroko wa Parokia ya Manushi Jimbo Katoliki la Moshi, Padri Erasmus Swai (44), ambaye anakabiliwa na kesi ya kubaka na kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha nne, amefutiwa mashtaka ya awali na kufunguliwa upya.


Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Nkamba Mbosela, jana Jumatatu, Januari 11, 2021, aliwasilisha hoja ya kuifuta kesi hiyo namba 159/2020 na kufunguliwa upya katika Mahakama ya Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro.


Padri Swai, anadaiwa kutenda makosa hayo kwa mtoto mwenye umri wa miaka 17 ambaye ni mwanafunzi wa sekondari, mkoani Arusha.


Akiwa mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama, Thurston Kombe, anayesikiliza kesi hiyo, Mbosela aliiambia mahakama kwamba upande wa mashtaka umebaini upungufu unaotokana na masuala ya kipelelezi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad