Rais Weah ‘Amkataa’ Cristiano Ronaldo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mchezaji wa zamani wa AC Milan, George Weah amesema Cristiano Ronaldo sio mchezaji bora ulimwenguni, lakini anamchukulia mreno huyo kama kioo kwa wachezaji wachanga.

 

“Namfananisha Ronaldo na Zlatan Ibrahimovic ambaye kwa sasa wachezaji chipukizi wengi wanajifunza kutoka kwake licha ya umri kumtupa mkono lakini bado anasakata kabumbu kwa kiwango kikubwa“ amesema Weah amabaye pia kwa sasa ni Rais wa nchi ya Liberia.

 

Weah anaamini Ronaldo kutokana na kujituma kwake bado ataendelea kutikisa katika ulimwengu wa soka hata kama akifikisha umri wa miaka 40.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad