AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Ummy Ndeliananga, ameendelea na msako wa kuwatafuta vigogo wanaotumia watu wenye ulemavu kama biashara ya kujipatia kipato.
Naibu Waziri amesema msako huo utakuwa endelevu mpaka pale watakapowakamata wahusika wakuu wote na kukomesha biashara hiyo.
VIDEO:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK