AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Serikali imezungumzia tabia ya baadhi ya Watendaji katika Mamlaka za Maji kupandikiza bili ya huduma hiyo na kusema usomaji wa bili za Maji unatakiwa kushirikisha Wananchi
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema, ni Haki ya Mwananchi kupata Maji na pia amesema bili za huduma hazitakiwa kuwa bambikizi. Amewataka Watumishi wa Sekta hiyo kutekeleza majukumu yao kwa weledi akisisitiza Watumishi wazembe hawatovumiliwa
Aidha, amewaagiza Viongozi kuhakikisha huduma ya maji inarejeshwa ndani ya saa 24 kama Sheria inavyoelekeza kwa wale ambao wamekatiwa akisema Wananchi wasiadhibiwe pasipostahili
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK