Serikali yataka usomaji wa bili za maji kushirikisha wananchi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Serikali imezungumzia tabia ya baadhi ya Watendaji katika Mamlaka za Maji kupandikiza bili ya huduma hiyo na kusema usomaji wa bili za Maji unatakiwa kushirikisha Wananchi
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema, ni Haki ya Mwananchi kupata Maji na pia amesema bili za huduma hazitakiwa kuwa bambikizi. Amewataka Watumishi wa Sekta hiyo kutekeleza majukumu yao kwa weledi akisisitiza Watumishi wazembe hawatovumiliwa

Aidha, amewaagiza Viongozi kuhakikisha huduma ya maji inarejeshwa ndani ya saa 24 kama Sheria inavyoelekeza kwa wale ambao wamekatiwa akisema Wananchi wasiadhibiwe pasipostahili

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad