Shetta: Diamond na Mzee Abdul wanaweza kwenda mahakamani kuhoji uhalali wa majina yao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kuhusu Diamond kumfichwa baba yake mzazi mpaka hivi sasa na kutumia jina la mtu ambaye sio baba yake haliyakuwa baba yake ni mwingine anaweza kwenda mahakamani kudai haki yake kama mtoto na baada ya kwenda kushtaki sisi kama Taasisi ya Sawa kwa kutumia wanasheria wetu tutaanza kumsaidia.

Lakini pia mzazi (Baba) kukataa mtoto kutumia jina lake hilo limekaa kisheria zaidi ambapo mzazi anaweza kwenda mahakamani kushtaki kwanini alifichwa kuhusu mtoto na huduma zote alitoa kama baba huku jina lake likitumiwa kinyume cha sheria na baada ya hapo sisi kama Taasisi kupitia wanasheria wetu tutaanza kushughulika nalo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mhhhh...Mwana kulifaindi ... M/ kuligeti.
    Mzee Abduli achukue Mkwanja wake anao stahiki nimejaribu kuchambua kwa Haraka anazo kesi za msingi 9 ikiwemo Wasafi Media na Watu washiriki wote akiwemo, Muuza Mchele Juma na Plojuza wa kipindi kilicho mdhalilisha Abdul kwa Jamii na kuidhalilisha Familia yake iliyomzunguka Akiwemo Kwini Dalini na Kitovu cha Maumivu haya Esma akishirikiana na mamake mkubwa Sanura.

    Nasibu pia anazo kesi 6 za Msingi dhidi ya mama aliembadilisha akishirikiana na mkunga wakati huo Mwananyamala na kuja kupewa doa na mshituko wa maisha kupitia chombo cha habari hewani MUBASHARA .

    Na ngwe Tatu zimepita mpaka kulosti identity na kumporomosha heshima kwa jamii anaonekana ni mtoto Chokoraa wa Tandale asiena baba anaetambulika
    na Sallam anafikiria kumwachisha kazi baada ya kuchafua BRAND.
    NaWema pia anayokesi ya Kudanganywa kama waliyo nayo Hawa Ntarejea,Zari,Hamisa na Tanasha.

    ReplyDelete

Top Post Ad