Star wa Nyimbo ya Jerusalemu Aalikwa Kutumbuiza Nyumbani Kwa Mwigizaji Vib Diesel

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwimbaji wa Afrika Kusini Master KG amealikwa kutumbuiza katika nyumba ya mwigizaji nyota wa Marekani Vin Diesel. Kwenye ukurasa wa instagram wa mkali huyo wa 'Jerusalema' ameandika;



"Siku ya 4. Shukrani za dhati kwa Vin Diesel na familia yake kwa kunialika kwenye nyumba yao kwa ajili ya kuwaburudisha na muziki wangu. Najifunza mengi toka kwao. Na inapendeza sana kuona hamasa na upendo walionao kwangu na taifa langu."

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad