Tamko la Rais Magufuli kuhusu magonjwa ya mlipuko

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli amesema licha ya uwepo wa magonjwa ya mlipuko kama Corona lakini watanzania hatutajifungia.

 

Rais Magufuli ameyasema hayo leo Januari 27, 2021 alipokuwa akizindua shamba la miti la Chato lililopo wilayani Chato mkoani Geita.


''Nchi nyingi wamejifungia ndani, Watanzania hatujajifungia na hatutegemei kujifungia na wala sitegemei kutangaza kwamba tunajifungia ndani kwa sababu Mungu wetu yupo", amesema Rais Magufuli.


Aidha katika kuchukua tahadhari juu ya magonjwa ya mlipuko, Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli amesema watu waendelee kujifukiza na kuomba mungu pamoja na kufanya mazoezi.


Join Our Telegram Group for Job Updates CLICK HERE


"Tutaendelea kuchukua tahadhari za kiafya ikiwemo kujifukiza, huku tukimuomba Mungu, huku unapiga zoezi la kulima mahindi na viazi ili ule vizuri ushibe, Corona ashindwe kuingia kwenye mwili wako, mtatishwa sana lakini simameni imara", amesema Rais Magufuli.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad