Tanasha Amshukuru Diamond Platnumz Kwa Hili, Diamond Amjibu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Msanii wa muziki kutoka nchini Kenya na ambaye ni mama mtoto wa Diamond Platnumz Tanasha Donna ametumia ukurasa wake wa Instagram kumshukuru baba mtoto wake ambaye amemuita Baba Naseeb Diamond Platnumz kwa kuamua kumtambulisha kwenye tasnia ya muziki.


Tanasha ametumia ukurasa huo akimshukuru kwa kumshirikisha kwenye ngoma yake ya Gere na kuufanya mmoja ya wimbo uliosikilizwa zaidi barani Afrika kwa mwaka 2020.


Tanasha alipost na kuambatanisha na hii takwimu lakini akiandika maneno haya:


“Huge thanks! Gere by myself & Baba @naseeb.junior made it to Most viewed African songs on Youtube 2020. Grateful to @diamondplatnumz for believing in me & collaborating with me on such a big tune & to the supporters who’ve supported me & continue to believe in me so far. Cheers to a greater 2021 Inshallah. The dream continues…. 🧚🏽‍♀️❤️”

Baada ya post hiyo Diamond alimjibu kwa maneno haya:-

“NJ’s MoMy!!! 🔥⛽🚬”

 


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad