AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Asilimia 57 ya Wamarekani wanataka Mrepublican Rais Donald Trump haraka kuondolewa madarakani baada ya kushawishi maandamano ya wiki hii yaliyosambaa na kuwa ghasia mbaya zilizo sababisha vifo ndani ya jengo la Bunge la Marekani, kwa mujibu wa ukusanyaji maoni uliofanywa na Reuters na Ipsos.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK