Tume ya Mawasiliano ya Uganda (UCC) Jumanne iliagiza makampuni yanayotoa huduma ya internet kufunga mitandao ya kijamii na app zote za mawasiliano siku mbili tu kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika nchini humo.
HABARI HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
0 Comments