Tuzo za Grammy zaahirishwa...Kisa Kizima Hichi Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Tuzo za Grammy za mwaka 2021 hazitafanyika tena mwezi huu huko Los Angeles California na badala yake zitatangazwa mwezi Machi kwa sababu ya kuongezeka kwa visa vya virusi vya corona na vifo.


Waandaji wa tuzo hizo waliwaambia jana Jumanne kuwa onyesho la kila mwaka litasogezwa mbele kutoka tarehe yake ya awali ya Januari 31 hadi tarehe isiyojulikana mwezi Machi.


Tuzo hizo za Grammy zitafanyika Los Angeles katika Kituo cha Staples, Kaunti ya Los Angeles, ambako ndio kitovu cha ugonjwa huko California, ambako umezidi vifo 10,000 na imekuwa na asilimia 40 ya vifo.


Beyonce ndiye anayeongoza katika tuzo hizo mwaka huu akiwa na uteuzi katika vitengo tisa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad